Thuringia (Kijerumani: Thüringen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 2,251 kwenye eneo la 16.172 km². Mji mkuu ni Erfurt. Waziri mkuu ni Bodo Ramelow (Die Linke).

JenaS, Thuringia
Mahali pa Thuringia katika Ujerumani
bendera ya Thuringia

Jiografia

hariri

Thuringia imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Saksonia Chini, Saksonia-Anhalt, Saksonia, Bavaria na Hesse.

Miji mikubwa ni pamoja na Erfurt, Jena na Weimar.

Saale na Werra ni mito muhimu zaidi.

Picha za Thuringia

hariri

Tovuti za Nje

hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Thuringia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


 
Majimbo ya Ujerumani
Baden-Württemberg Bavaria (Bayern) Berlin Brandenburg Bremen Hamburg Hesse (Hessen) Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern) Saksonia Chini (Niedersachsen) Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen) Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz) Saar (Saarland) Saksonia (Sachsen) Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt) Schleswig-Holstein Thuringia (Thüringen)